MAENDELEO VIJIJINI
MWANGA KWA JAMII ENDELEVU
Thursday, 31 March 2016
POVERTY
Africa and its peoples are still grappling with the challenges of perpetual poverty. As the Director General pointed out in his report, Africa is host to the largest number of working poor in the world. We recognize the positive initiatives that have been taken and those that are underway to deal with the situation. We appreciate the role of the ILO,the UN family in general, and that of the development partners in this regard.Their support and actions give us every reason to be optimistic about securing abrighter future for our children and for future generations of Africa.
Tuesday, 29 March 2016
KILIMO CHA NYANYA NI MWANGA MPYA WA MATUMAINI KWA VIJANA
Mkulima wa Kijiji cha Tanangozi, Iringa vijijini Mgimba, ni miongoni
mwa wakulima waliofanikiwa na kuvuna mamilioni ya shilingi kutokana na kilimo
cha zao la nyanya.
KLIMO UTI WAMGONGO WA TAIFA
KILIMO ni uti wa mgongo wa taifa.
Kauli mbiu hiyo imechangia kuweka mikakati mingi ya kuendeleza kilimo sambamba
na kauli mbiu tofauti kama, ‘Siasa ni Kilimo’, ‘Kilimo Kwanza’ na ‘kilimo cha
kufa na kupona’. Kwa misingi hiyo, Watanzania hawawezi kukwepa suala la kilimo
kwa vile bado ni njia kuu ya kujenga uchumi wa taifa na kuharakisha maendeleo
ya mmoja mmoja.
Kilimo cha mtu mmoja mmoja vijijini mpaka sasa hakijaleta mafanikio makubwa
kutokana na kutumia zana duni ingawa wakulima wachache wamekiri kupata
mafanikio. Wakulima wengi wadogo hawajapata mafanikio kwa kuwa Serikali
haijaweka mikakati madhubuti ya kulima kisasa na kuwatafutia masoko.
UFUGAJI WA KUKU WA MAYAI NI ZAIDI YA KUAJIRIWA
Sunday, 27 March 2016
SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE LEARNING ENVIRONMENT- SMC
Sokoine University of Agriculture was established on 1 July 1984 by
Parliamentary Act No. 6 of the same year
Monday, 8 February 2016
Watu
watatu wamejeruhiwa baada ya Chui kuingia kwenye shule moja huko
Bangalore India na kufanya Askari watumie takribani saa 14 kumtafuta
Chui huyo aliyekuwa na umri wa miaka sita akitokea kwenye Msitu uliokuwa
karibu na shule hiyo.
Katika purukushani za kumuwinda, Askari
na watu wengine walifanikiwa kumfungia huyu chui bafuni lakini
akafanikiwa kutoroka kupitia dirisha dogo la kuingiza hewa, unaweza
kutazama hii video hapa chini ya sehemu ya tukio.
<iframe width="640" height="360" src="https://www.youtube.com/embed/wWC1XhheSb4?feature=player_embedded" frameborder="0" allowfullscreen></iframe>
Subscribe to:
Comments (Atom)

