Monday, 8 February 2016

Watu watatu wamejeruhiwa baada ya Chui kuingia kwenye shule moja huko Bangalore India na kufanya Askari watumie takribani saa 14 kumtafuta Chui huyo aliyekuwa na umri wa miaka sita akitokea kwenye Msitu uliokuwa karibu na shule hiyo.
Katika purukushani za kumuwinda, Askari na watu wengine walifanikiwa kumfungia huyu chui bafuni lakini akafanikiwa kutoroka kupitia dirisha dogo la kuingiza hewa, unaweza kutazama hii video hapa chini ya sehemu ya tukio.
<iframe width="640" height="360" src="https://www.youtube.com/embed/wWC1XhheSb4?feature=player_embedded" frameborder="0" allowfullscreen></iframe>

No comments:

Post a Comment